MLM Gateway - Helping network marketers build their business

MAREKANI INAONGOZA KWA KUWA NA WAGONJWA WENGI WA CORONA





https://youtu.be/iNNXJ84E4m8




Marekani imeripotiwa kuongoza kwa idadi ya wagonjwa wa corona Duniani kote na kuizidi China na Italy ambazo zilikuwa vinara hapo awali, Marekani ina wagonjwa 81378 na vifo 1161, China ina wagonjwa 81,285 na Italia 80,538. “Watu wanapimwa USA, takwimu ziko wazi”








Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

MAARUFU

ZA HIVI KARIBUNI