MLM Gateway - Helping network marketers build their business

“Hakuna Beef Na Lady Jaydee”- Meneja wa Ally Kiba


Meneja wa msanii wa Bongo Fleva Ali kiba ameweka wazi kuwa hakuna ugomvi wowote baina ya msaani huyo na Lady Jaydee





Kauli ya meneja huyo inakuja kutokana na majibu ya Lady Jaydee alipoulizwa na shabiki mmoja kwenye mtandao wa twitter iwapo itafanya collabo na Ally Kiba





“Jay dee ni msaanii tunaye mheshimu ni dada na sidhani kama kuna ugomvi wowote baina yake yeye na Kiba maan tumeshirikiana mara nyingi kipindi akiwa Rockstar (label ya Ali kiba) labda kama kuna shida nyingine ila sisi hatuna shida” amesema Aidan Charlie alipoulizwa na clouds Tv





Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho Ally Kiba kushirikiana ilikuwa mwaka 2012 walipotoa wimbo wa Single Boy wa Ali Kiba, Jay Dee alipoulizwa kama atafanya collabo na mkali huyo alisema hana mpango na afikirii leo wala kesho


Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Kumbukumbu la Blogu

MAARUFU

ZA HIVI KARIBUNI